Thursday, April 9, 2015

Kamishna Jenerali wa Magereza nchini Tanzania Bw. John Casmir Minja ashiriki mahafali ya kumaliza mafunzo ya awali ya uaskari magereza nchini Uganda

Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini Tanzania Bwn.John .C.Minja akiwaongoza Wakuu wa Magereza wanachama wa ACSA (Umoja wa Nchi zinazoshughulika na Urekebishaji/Magereza Barani Afrika wakati wakiingia Viwanja vya Kololo Jijini Kampala,Uganda kabla ya kuanza kwa ratiba ya kumaliza Mafunzo ya Awali ya Uaskari Magereza Nchini Uganda.Shughuli zilizofanyika leo tarehe 9 April,2015 katika Viwanja Kololo Kampala.Aliyeongozana nae ni Mkuu wa Magereza Nchini Angola.
Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini Tanzania Bw. John .C. Minja aliyekaa katikati,amevaa nguo za kijana akiwa amekaa na Wakuu Wengine wa Magereza Wanachama wa ACSA wakimsubiri Mgeni rasmi katika Mahafali hayo Mhe. Yoweri Kaguta Mseveni Rais wa Jamhuri ya Uganda,hata hivyo hakuweza kuja na badala yake aliwakilishwa na Makamu wa Rais Nchini Uganda Mhe. Edward Sekand